YANGA WAENDELEA NA MTIZI BILA YA KOCHA WAO - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

December 22, 2017

YANGA WAENDELEA NA MTIZI BILA YA KOCHA WAO






MDAU WETU TUPE SUPPORT KWA KU CLICK KWENYE TANGAZO HAPO CHINI YA HII POST. SHUKA CHINI KIDOGO UTAONA KIBOX KINA TANGAZO AMAZON.COM CLICK HAPO, NI BUREEEE KABISAAA. UKICLICK TUNANUFAIKA NA WEWE TUNAKUPOSTIA INFO. MUCH LOVE GUYZ

Kikosi cha Yanga kimeendelea na mazoezi yake bila ya Kocha George Lwandamina ambaye ilielezwa angeanza kazi leo akiwa amerejea kutoka kwao Zambia.

Awali, ilielezwa, Kocha Lwandamina angewasili nchini jana na leo angeanza kazi ya kukinoa kikosi chake. Hata kocha huyo hakuwepo wakati Yanga ikijifua.


Takribani wiki mbili sasa, Lwandamina alisafiri kwenda kwao Zambia kutokana na masuala ya kifamilia.












MDAU WETU TUPE SUPPORT KWA KU CLICK KWENYE TANGAZO HAPO CHINI YA HII POST. SHUKA CHINI KIDOGO UTAONA KIBOX KINA TANGAZO AMAZON.COM CLICK HAPO, NI BUREEEE KABISAAA. UKICLICK TUNANUFAIKA NA WEWE TUNAKUPOSTIA INFO. MUCH LOVE GUYZ
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();