MAPUMZIKO:YANGA-0 MBAO-0 - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

December 31, 2017

MAPUMZIKO:YANGA-0 MBAO-0



MAPUMZIKO
Dk ya 45 + 49: Mwamuzi anakamilisha kipindi cha kwanza.
Dk ya 45: Zinaongezwa dakika nne za nyongeza.

Dk ya 42: Mbao wanafika langoni mwa Yanga lakini umakini wa walinzi unasaidia.
Dk ya 41: Tshishimbi anapiga shuti linapaa juu ya lango.
Dk ya 37: Kipa wa Mbao yupo chini anapatiwa matibabu baada ya kuumia.
Dk ya 34: George Sangida wa Mbao FC anapata kadi ya njano kwa kucheza vibaya dhidi ya Buswita.
Dk ya 28: Mbao bado wanaonyesha ubora wa kuwadhibiti Yanga.
Dk ya 25: Tambwe anafika langoni mwa Mbao lakini shambulizi lake linaokolewa.
Dk ya 20: Mambo bado magumu kwa kila upande, wanapena zamu kumiliki mpira.
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();