MTANGAZAJI AFARIKI DUNIA - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

December 31, 2017

MTANGAZAJI AFARIKI DUNIA



Mtangazaji maarufu wa michezo, Limonga Justine Limonga amefariki leo katika hospitali ya TMJ.

Limonga aliyekuwa mtangazaji maarufu katika redio Uhuru amefariki baada ya kulazwa siku mbili.

Mara ya mwisho, Limonga alionekana akiwa na wahariri wa michezo katika mkutano uliowakutanisha na Rais wa TFF, Wallace Karia.


Taarifa zinaeleza, msiba utakuwa kwake Mbagala Kipati jijini Dar es Salaam na juhudi zilikuwa zinafanyika kuuhamisha mwili wake kutoka Hospitali ya TMJ hadi Hospitali ya Temeke.
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();