YONDANI SASA YUKO FIT KAMA KASI YA 4G - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

November 21, 2017

YONDANI SASA YUKO FIT KAMA KASI YA 4G

Beki wa kati wa Yanga, Kelvin Yodani aliyekuwa majeruhi, ameanza mazoezi leo.
Yondani ameanza mazoezi pamoja na wenzake kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Beki huyo kisiki, alikosa mechi dhidi ya Mbeya City ambayo kikosi chake kwa ushindi wa mabao 5-0.
Lakini Yondani alionekana yuko akifanya mazoezi na wenzake.

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();