TSHISHIMBI, KAMUSOKO WASHINDWA TENA KUANZA MAZOEZI YANGA... - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

November 21, 2017

TSHISHIMBI, KAMUSOKO WASHINDWA TENA KUANZA MAZOEZI YANGA...


Viungo wawili nyota wa Yanga, Thabani Kamusoko na Papy Tshishimbi, wame
shindwa kufanya mazoezi tena leo.
Kamusoko raia wa Zimbabwe na Tshishimbi kutoka DR Congo, wametokea katika mazoezi ya Yanga kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, lakini hawakufanya mazoezi.
Hivi punde, Yanga inaendelea na mazoezi lakini wawili hao wako nje kutokana na kuwa majeruhi.
Kamusoko amekuwa majeruhi kipindi cha zaidi ya mwezi sasa wakati Tshishimbi aliikosa mechi iliyopita, Yanga ikiitwanga Mbeya City kwa mabao 5-0 baada ya kuumia enka.
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();