PARTRICE EVRA AMTANDIKA TEKE SHABIKI - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

November 03, 2017

PARTRICE EVRA AMTANDIKA TEKE SHABIKI

Beki Patrice Evra ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kulambwa kadi nyekundu hata kabla ya mechi kuanza katika michuano ya Eurpa League.
Evra beki wa zamani wa Man United ambaye anakipiga na Marseille alikuwa akijiandaa na mechi dhidi ya Vitoria de Guimaraes, wakati akipasha alimrukia teke shabiki.
Shabiki huyo alimtolea Evra maneno ya shombo na kusababisha ashindwe kujizuia na kwenda kumrukia teke jambo ambalo lilifanya mwamuzi amtoe kwa kadi nyekundu hata kabla ya mechi.
Vitoria de Guimaraes walishinda bao 1-0 dhidi ya timu hiyo ya Evra ambaye alikuwa jukwaani.

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();