Ndemla aanza majaribio afc ya sweden - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

November 14, 2017

Ndemla aanza majaribio afc ya sweden

Kiungo wa Simba, Said Hamis Ndemla ameanza majaribio jana katika kikosi cha AFC ya Sweden.
Ndemla raia wa Tanzania, anatarajia kuendelea na majaribio hayo ya siku 14 leo lakini kuna siku mbili atalazimika kusimama.
“Siku mbili hatafanya majaribio kwa kuwa timu yake itakuwa na mechi mbili za mwisho za ligi,” alieleza msimamizi wake.
“Siku za mechi ataungana na wenzake ambao watakuwa hawachezi kushuhudia. Timu yake inapambana kuepuka kuteremka daraja.”

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();