UMOJA WA ULAYA WAIPIGA FAINI FACEBOOK KIASI CHA DOLLAR MILLION 122 - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

May 20, 2017

UMOJA WA ULAYA WAIPIGA FAINI FACEBOOK KIASI CHA DOLLAR MILLION 122

 



Mkuu wa kitengo cha antitrust cha umoja wa ulaya  Margrethe Vestager ametangaza kua wamefikia muafaka wa kuipiga faini kampuni ya facebook, kutokana na kosa la utoaji wa taarifa zenye mkanganyiko kuhusu mark zuckerbeg mvumbuzi na mmiliki wa mtandao huo kuvunja sheria za baraza la ulaya katika mchongo wa kuinunua whatsapp mwaka 2014, amabapo mark wa facebook aliinunua kwa dola billion 19, na makubaliano yalifikiwa kuwa data za facebook zisiunganishwe na za whatsapp, lakini mwezi wa nane facebook ilitangaza kutumia data moja na whatsapp, hilo ni kosa kubwa la ukiukwaji wa sheria za  data za kimataifa kwa kuwa, kufanya hivyo kutaifanya facebook kufaidika na deal za matangazo ya mtandaoni.
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();