CONGO YAONGOZA KWA KUTOA WAKIMBIZI KULIKO HATA SYRIA NA IRAQ - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

May 22, 2017

CONGO YAONGOZA KWA KUTOA WAKIMBIZI KULIKO HATA SYRIA NA IRAQ




Kwa mujibu wa shirika la kufanya tafiti za wakimbizi, shirika hilo lenye makao yake nchini NORWAY linajulikana kama NRC, limeripoti kuwa watu laki tisa na ishirini elfu walikimbia kutoka Congo kwa mwaka  2016, ikiwa ni ongezeko kubwa ikilinganishwa na takwimu za hapo awali ambapo watu laki nane na ishirini elfu walikimbia congo. Congo imewazidi siryia na iraq kwa  kutoa idadi kubwa ya wakimbizi. Chanzo kikuu ni mzozo ndani ya DRC pamoja na ukame
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();