Rasmi: Singano ni wa morocco - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

June 28, 2017

Rasmi: Singano ni wa morocco




Difaa Al Jadida ilimtumia mwakilishi wake nchini kumfanyia Singano maarufu kama Messi vipimo vya afya na taarifa zimeeleza kuwa amefuzu.

"Sasa ni suala la viza tu, kama hili likikamilika, basi Singano ataondoka. Hawataingia naye mkataba sasa hivi hadi mkataba wake na Azam FC utakapoisha siku chache zijazo.

"Ila kuna taarifa nimeambiwa wamemtaka kwenda kule mapema ili kuzoea mazingira," kilieleza chanzo.

Mkataba wa Singano na Azam FC umebakiza siku chache kwisha na hivi karibuni ilielezwa mchezaji huyo kugoma kusaini mkataba mpya Azam FC

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();