PICHA HIZI HAPA; IMETHIBITISHWA: MASHABIKI 400 WA JUVE WAZIMIA KWA PRESHA YA KICHAPO - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

June 04, 2017

PICHA HIZI HAPA; IMETHIBITISHWA: MASHABIKI 400 WA JUVE WAZIMIA KWA PRESHA YA KICHAPO


Vyanzo vya habari vinadai kuwa takribani fans 400 wa Timu ya juventus waliokuwa wakiangalia gem ya fainali hapo jana kwenye moja ya kumbi za screen kubwa huko TURIN, inalipotiwa
wamepata majeraha huku wengine wakizimia kutokana na taharuki iliyotokea kwa kurushwa vifaa vinavyosadikia kuwa nivilipuzi.

Mashabiki hao walipoona hali hiyo ilibidi waanze kutaharuki huku na kule hadi kupeleke mkanyagano uliosababisha watu 400 kujeruhiwa. AFP wameripoti kuwa chanzo kikuu cha mkanganyiko huo ilikuwa ni panic iliyowakuta mashabiki hao kwa kichapo cha 4-1.
 Kocha wa juve alisema haya baada ya tukio hilo

"I would just like to say that we feel for what happened to our fans in Turin. There was an incident there; we hope that not too many people were injured."









'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();