WOLPER ATOA POVU JUU YA X-WAKE - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

September 13, 2017

WOLPER ATOA POVU JUU YA X-WAKE

Dawa ya Moto ni moto’. Saa chache baada ya staa wa Bongo MuviJacqueline Wolper, kushusha kichambo kinachodhaniwa kuwa ni spesho’ kwa X- wake kwenye ukurasa wake wa Instagram, hatimaye X-wake huyo naye amemjibu kwa staili hiyohiyo.

“Vipi kwani mbona nasikia mtaa wa povukwani katajwa mtu? Msg ikishafikaga ukweli unaumaga nimechoka mwambie tena anayejifanya anakujua sana pambana na huba lako” ameandika X- wa Wolper.

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();