RPC Mwanza kaeleza kuhusu ajali iliyojeruhi Askari na Mahabusu - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

September 08, 2017

RPC Mwanza kaeleza kuhusu ajali iliyojeruhi Askari na Mahabusu




Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Ahmed Msangi ametolea ufafanuzi kuhusu ajali iliyohusisha gari la Polisi lililokuwa limebeba Mahabusu kugongana na Toyota Vits kwenye Round about ya Samaki Mwanza ambapo ilisababisha majeruhi wawili; Askari Polisi na Mahabusu ambao tayari wameruhusiwa baada ya kutibiwa katika Hospital ya Mkoa Sekou Toure.

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();