“Ukibisha kapambane na kulipa mishahara wachezaji wako”-Haji Manara - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

September 11, 2017

“Ukibisha kapambane na kulipa mishahara wachezaji wako”-Haji Manara


Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa club ya Simba Haji Manara ni moja kati ya viongozi na wapenzi wa soka wanaojiamini sana na mara nyingi amekuwa akipenda kuandika post za utani kwa wapinzani wao Yanga.
Haji Manara usiku huu kutoka katika instagram account yae ameandika ujumbe akiwa kapost picha ya kikosi cha Simba kuwa kwa sasa Simba ndio Brand maarufu zaidi nchini kuliko zote, unaweza andika comment yako hapo chini.
“Simba ni klabu ya watu (Peoples Club)watu wa jinsia zote, dini zote, makabila na rangi zote, vyama vyote na ndio maana kwa sasa inatajwa kuwa Taasisi maarufu kupita zote nchini, ukibisha kapambane na kulipa mishahara wachezaji wako”>>> Haji Manara
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();