NEWZ TOKA ICU NAIROBI KUHUSU LISU - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

September 08, 2017

NEWZ TOKA ICU NAIROBI KUHUSU LISU



Mh Tundu Lissu ametolewa salama katika chumba cha upasuaji baada ya Masaa 7 tangu saa nne asubuhi hadi sasa saa kumi na Moja jioni na upasuaji umefanyika kwa mafanikio hivyo yupo Executive ICU kwa uangalizi wa karibu zaidi
Tutaendelea kuwajuza. Na tunawahakikishia kuwa madaktari wametueleza hakuna tishio lolote kiafya yuko macho na fahamu zote na hii ndio ilikuwa hatua ngumu na Mungu ametupitisha hivyo tuendelee kumuombea apone haraka
Hemedi Ali
Mkuu wa idara ya Uenezi CHADEMA.
Nairobi hospital.
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Tundu Lissu alishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana mchana wa September 7 2017 nyumbani kwake ndani ya gari Area D Dodoma, baada ya kurudi akitokea Bungeni kupata chakula cha mchana, hivyo amepelekwa Nairobi kwa matibabu.
Kama ulipitwa na Mbowe alivyoeleza Tundu Lissu kushambuliwa kwa risasi
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();