DEREVA WA BASI LA SIMBA ALAZWA MUHIMBILI - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

September 13, 2017

DEREVA WA BASI LA SIMBA ALAZWA MUHIMBILI

Dereva wa basi la Simba, Nassor maarufu kama Chollo ni mgonjwa na amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Taarifa zinaeleza, Chollo anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo na hali ya si nzuri sana.
Lakini Meneja wa Simba, Cosmas Kapinga amesema ni suala la kusubiri vipimo.
"Ni kweli amelazwa kwenye taasisi ya moyo. Lakini mimi ni daktari siwezi kukubali tu kuwa ni tatizo la moyo.
"Nikipata vipimo ndiyo naweza kulizungumzia, hivyo sasa ni vizuri kama tutasubiri vipimo ili niseme kipi kinachomsumbua," alisema.

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();