TAMBWE ATOLEWA ZANZIBAR ARUDISHWA DAR - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

January 08, 2018

TAMBWE ATOLEWA ZANZIBAR ARUDISHWA DAR


Taarifa zinaeleza Tambwe ameondolewa katika kambi ya Yanga mjini  Zanzibar ili kwenda kupatiwa matibabu.

Daktari wa Yanga, Edward Bavu amethibitisha Tambwe kuondolewa Zanzibar na kurudishwa jijini Dar es Salaam.

"Ana malaria,kwa siku zaidi ya nne sasa amekuwa na wakati mgumu, tumelazimika kumrejesha Dar ili apate matibabu zaidi,” Dr Bavu.

Pamoja na mjadala kwamba kama ni malaria angeweza kutibiwa Zanzibar, Tambwe atapata matibabu jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji huyo amerejea kikosini Yanga hivi karibuni baada ya kukaa nje akiwa majeruhi.
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();