HII HAPA TIMU YA SAUZI INAYOMCHUKUA MAGULI - MAINFO93

Latest

Kuwa updated kwa kutembelea mainfo93, hapa utakutana na mastory toka kila kona ya ulimwengu wa dot com. Contact habarimtandaoni@gmail.com

Random posts

January 02, 2018

HII HAPA TIMU YA SAUZI INAYOMCHUKUA MAGULI



Klabu ya Cape Town City ya Afrika Kusini nayo imeingia katika vita ya kumtwaa mshambuliaji Elius Maguri.
Taarifa za uhakika zinaeleza, Cape Town City imefanya mazungumzo na wakala wa mchezaji huyo ambaye pia bado anawaniwa na Difaa Al Jadid ya Morocco anayoicheza Saimon Msuva.

Awali ilielezwa anaweza kujiunga na timu nyingine ya Afrika Kusini lakini sasa Cape Town City ambayo inajiimarisha inaonyesha nayo imeingia katika mbio hizo.
Mazungumzo kati ya wakala wa Maguri na Difaa yanaonekana kwenda vizuri na kama yatakaa sawa, anaweza kujiunga nayo.
“Kweli kumekuwa na mazungumzo na yanakwenda vizuri sana. Hapo limebaki suala la maslahi,” kilieleza chanzo.
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();